FRANSALIAN SCHOOL BOMBAMBILI

Image Image Image Image Image Image Image Image Image Image

Maelekezo ya kununua fomu mtandaoni

  1. Lipia TSh 10,000/= kwenye namba ifuatayo
    0784 377 306
    Tumia namba ya simu TU kufanya malipo. Usitumie wakala wala benki.
    Jina ni SHEEJAN KALLARAKKAL
  2. Ndani ya muda mfupi tutakutumia ujumbe kwenye namba uliyoitumia kufanya malipo. Ujumbe huo utakuwa na token.
  3. Bonyeza Pakua fomu. Ingiza namba ya simu uliyotumia kufanya malipo.
  4. Ingiza token tuliyokutumia kwa ujumbe mfupi
  5. Ingiza majina mawili ya mwanafunzi kwenye sehemu husika. Kuwa makini, hutaweza kubadilisha ukishahifadhi taarifa
  6. Hifadhi Taarifa
  7. Pakua fomu. Ichape na ufuate maelekezo yake.


Imetengenezwa na Code Dreamers